@xtreme-media
10,500
615,208
43
2020-05-21
Xtreme Media ni wazalishaji wa vipindi vya TV na Matangazo nchini Tanzania ambao tuna uzoefu katika tasnia ya Habari. Miongoni mwa vipindi tunavyozalisha ni Made In Tanzania ambacho huruka kila siku ya Jumatano saa 2:30 kupitia Clouds Tv. Kipaumbele chetu ni kukupa uchaguzi wa maudhui sahihi mitandaoni ambayo hupaswi kupitwa nayo kamwe.