@tenzizarohoni
275
13,040
1
4,899d ago
0.0
avg. per month
KARIBU KWENYE MTANDAO WA TENZI ZA ROHONI Mtandao Tenzi za Rohoni umebuniwa kwa lengo la kuweka nyimbo, wasifu na mafunzo yanayomwezesha mtu kumsifu na kumuabudu Mungu kupitia mtandao. Mtandao pia unalenga kuwasaidia waimbaji wanaochipukia kuweza kutangaza kazi zao za sanaa zenye kumtukuza Mungu kupitia mtandao huu ni mitandao dada pamoja na mitandao ya kijamii kama Face Book, Twitter nk "Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.""