@adow9musictz931
14,600
1,082,720
114
45d ago
0.3
avg. per month
9 Je! Si mimi niliyekuamuru? Uwe hodari na moyo wa ushujaa; usiogope wala usifadhaike; kwa kuwa Bwana, Mungu wako, yu pamoja nawe kila uendako. Yoshua 1:9 23 Bwana akamwambia Amani iwe pamoja nawe; usiogope; hutakufa. Waamuzi 6:23 10 usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu. 11 Tazama, wote walioona hasira juu yako watatahayarika na kufadhaika; watu washindanao nawe watakuwa si kitu, na kuangamia. Isaya41:10_11 9 Bwana akamwambia Paulo kwa maono usiku, Usiogope, bali nena, wala usinyamaze matendo ya mitume 18:9